MATOKEO YA UDAHILI NACTE KWA KOZI ZA AFYA NA UALIMU PITIA HAPA KUYATIZAMA

The Student's Admission Verification for those who expected to join Health and Teacher Government Institutions has been completed, You can view results of this selection from Your Personal profile by clicking here, The System will open soon for second round to allow new applicants and those who were eligible and not selected to make there new choices. Thank you. 
Uhakiki wa Udahili wa Wanafunzi wanaotarajia kujiunga kwenye vyuo vya Serikali, Afya na Ualimu Umekamilika, Unaweza kuangalia matokeo ya uchaguzi huu kupitia kwenye kurasa binafsi kwa kubofya hapa, Mfumo utafunguliwa tena hivi karibuni kuruhusu awamu ya pili kwa waombaji wapya na wale wenye sifa lakini hawakuchaguliwa. Asante.

Comments

Popular posts from this blog

WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA 5 NA UFUNDI 2017

Hatua za kufuata unapotaka fanya application Muhimbili university.

Wanawake wanaopendwa zaid na wanaume