Posts

Showing posts from May, 2017

MAGAZETI YA LEO MAY 31/05/2017

Image
HABARI MBALIMBALI ZA MAGAZETI YA LEO KUTOKA VYANZO MBALIMBALI   Morning ndugu yangu nadhani umeamka vizuri nadhani mfungo unaendelea vizuri kwako na kama sio mfungaji nadhani mambo mengine yanaenda vizuri yote ya yote tunapaswa kushkuru hii neema ya kua hai.   Siku ya leo ya jumatano nimekusogezea vichwa mbalimbali vya magazeti ambavyo unaweza pata habarika kidogo ebu tiririka nayo hapa chini;

MAMBO 7 YANAYOWAUMIZA WANAUME KWENYE MAHUSIANO

Image
Mambo 7 yanayowaumiza Wanaume Kwenye Mahusiano      Kupitia safu yetu ya mahusiano, leo nimekuletea makala maalum hasa kwa wanawake kutokana na malalamiko ya wanawake wengi kuwapoteza waume zao. Kilio chao kikubwa ni kukimbiwa na wanaume au kuachwa. Leo anakuwa na mwanaume huyu, baada ya muda mfupi kunatokea chokochoko, mwanaume anatimka zake.     Jamaa anamkimbia na kwenda kuanzisha uhusiano mwingine. Baada ya kukimbiwa, mwanamke hakati tamaa. Anaanzisha uhusiano mwingine, ndani ya muda mfupi tu, anaambulia maumivu tena. Anabaki kujilaumu. Hajui chanzo cha yeye kukimbiwa. Matokeo ya hili, mwanamke anapoteza uelekeo. Kila mwanaume anayekutana naye anamkimbia. Mwisho wa siku anajikuta umri umeenda. Kuolewa inakuwa ni ndoto. Anaanza kulazimisha kusaka mtoto ili angalau na yeye aitwe mama. Wanaume wengi hujikuta wakiwaacha wapenzi wao kwa sababu ya tabia fulani ambazo wakati mwingine huanza taratibu na baadaye huwa kikwazo kikubw...

MATUKIO KWA PICHA KIKAO CHA UNISATA UDOM

Image
      Jana siku ya jumamosi katika eneo la kitivo cha tiba na sayansi muambata (CHAS) UDOM kulifanyika mkutano mkuu wa UNISATA taifa likishirikisha wanachama toka sehemu mbalimbali katika vyuo vikuu vya uuguzi Tanzania.  Kikao hicho kilihudhuriwa na wageni wafuatao; Mkurugenzi toka wizara ya afya katika idara ya huduma za uuguzi na ukunga. Makamu mwenyekiti TANNA taifa. Viongozi mbalimbali wawakilishi toka vyuo mbalimbali nchini vya uuguzi . Katika kikao hicho mengi yamejadiliwa mazuri watu wameweza kujibiwa madukuduku yao na kupewa vitu vingine vya ziada.    Sambamba na hilo kulifanyika uchaguzi ambapo viongozi wapya wa UNISATA walipatikana mnamo mida ya magharib ambapo Rais mpya wa UNISATA now anaitwa HERMAN ALOYCE MBILO KUTOKA MUHAS (RAIS) HONORAS FRANSIS             KUTOKA CUHAS (VICE) LILIAN ANATORY            ...

HABARI MBALIMBALI ZA MAGAZETINI LEO JPILI 28/05/2017

Image
HABARI MABALIMBALI ZA MAGAZETI MICHEZO NA HABARI ZA KITAIFA NA KIMATAIFA                             Good morning wanablog; Leo tarehe 28/05/2017 jumapili nimekusogezea habari mbalimbali kutoka katika magazeti pendwa ndani ya Tanzania ili uweze kuhabarika pitia blog yako pendwa hivyo basi unaweza pitia vichwa hivi hapa chini vya habari. s Shukrani sana wanablog kwa sapoti yenu vile vile kutaka kuliona goli la simba la kwanza dhidi ya mbao click hyo link itakupeleka moja kwa moja https://youtu.be/Jqb9VTZxV1c