Mapacha wenye ndoto ya kuolewa pamojaa.



                         Mapacha hao ambao ni Maria na Consolata ni wasichana pacha
                      ambao walizaliwa wakiwa wameungana nchini Tanzania.
                          Mapacha hao kwa sasa wana umri wa  miaka 19 ambao wamefika
                      kidato cha sita wakiwa katika hatua za mwisho za kufanya  mitihani
                      yao ya kuhitimu masomo ya sekondari.
                          Mapacha hao ambao wanasoma katika shule ya sekondari Udzungwa
                      Mkoani Iringa kusini magharibi mwa Tanzania.
                      Ndoto yao kubwa ni kujiunga na chuo kikuu na mwishowe kuwa
                      waalim na vilevile wangependa kuolewa pamoja na mwanamume mmoja.
                      Kwa mungu yote yanawezekana tuwaombee.

Comments

Popular posts from this blog

WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA 5 NA UFUNDI 2017

Hatua za kufuata unapotaka fanya application Muhimbili university.

Wanawake wanaopendwa zaid na wanaume