MATUKIO KWA PICHA KIKAO CHA UNISATA UDOM

      Jana siku ya jumamosi katika eneo la kitivo cha tiba na sayansi muambata (CHAS) UDOM kulifanyika mkutano mkuu wa UNISATA taifa likishirikisha wanachama toka sehemu mbalimbali katika vyuo vikuu vya uuguzi Tanzania.
 Kikao hicho kilihudhuriwa na wageni wafuatao;
  • Mkurugenzi toka wizara ya afya katika idara ya huduma za uuguzi na ukunga.
  • Makamu mwenyekiti TANNA taifa.
  • Viongozi mbalimbali wawakilishi toka vyuo mbalimbali nchini vya uuguzi .
Katika kikao hicho mengi yamejadiliwa mazuri watu wameweza kujibiwa madukuduku yao na kupewa vitu vingine vya ziada.
   Sambamba na hilo kulifanyika uchaguzi ambapo viongozi wapya wa UNISATA walipatikana mnamo mida ya magharib ambapo Rais mpya wa UNISATA now anaitwa
  • HERMAN ALOYCE MBILO KUTOKA MUHAS (RAIS)
  • HONORAS FRANSIS             KUTOKA CUHAS (VICE)
  • LILIAN ANATORY                 KUTOKA HKMU (G/SECRETARY)
Hapa chini nimekuwekea baadhi ya picha za matukio yaliyokua yakiendelea

Mwakilishi IMTU




Rais aliyeacha madaraka

Mgeni mwalikwa toka wizarani na Rais aliyeacha


Picha ya pamoja library CHAS

Bogger boy akiwa na M/kiti UDOM

Comments

Popular posts from this blog

WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA 5 NA UFUNDI 2017

Hatua za kufuata unapotaka fanya application Muhimbili university.

Wanawake wanaopendwa zaid na wanaume